Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) - ABNA - Rais wa Iran Dr. Masoud Pezeshkian alijitokeza Leo hii kwenye uwanja wa soka kabla ya kuadhimisha Wiki ya Wafanyakazi na kushiriki katika mchezo ulioshirikisha Timu ya Wafanyakazi na Timu ya Maveterani, akisherehekea michango ya Wafanyakazi kote nchini. ⚽️Michezo ni Afya.
25 Aprili 2025 - 21:34
Msimbo wa Habari: 1552195

Maoni yako